Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+

  • Luka 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo akawaambia wanafunzi wake: “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi, Acheni kuhangaikia nafsi zenu kuhusu mtakachokula au miili yenu kuhusu mtakachovaa.+

  • 1 Petro 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 huku mkitupa mahangaiko+ yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki