25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+
22 Ndipo akawaambia wanafunzi wake: “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi, Acheni kuhangaikia nafsi zenu kuhusu mtakachokula au miili yenu kuhusu mtakachovaa.+