Luka 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo akawaambia wanafunzi wake: “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi, Acheni kuhangaikia nafsi zenu kuhusu mtakachokula au miili yenu kuhusu mtakachovaa.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
22 Ndipo akawaambia wanafunzi wake: “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi, Acheni kuhangaikia nafsi zenu kuhusu mtakachokula au miili yenu kuhusu mtakachovaa.+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+