Zaburi 145:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+ Yohana 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na siku hiyo+ hamtaniuliza swali kamwe. Kwa kweli kabisa ninawaambia, Mkimwomba Baba jambo lolote+ atawapa katika jina langu.+
23 Na siku hiyo+ hamtaniuliza swali kamwe. Kwa kweli kabisa ninawaambia, Mkimwomba Baba jambo lolote+ atawapa katika jina langu.+