Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+

  • Yohana 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+

  • 1 Yohana 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki