Yohana 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+ Yohana 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na siku hiyo+ hamtaniuliza swali kamwe. Kwa kweli kabisa ninawaambia, Mkimwomba Baba jambo lolote+ atawapa katika jina langu.+
16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+
23 Na siku hiyo+ hamtaniuliza swali kamwe. Kwa kweli kabisa ninawaambia, Mkimwomba Baba jambo lolote+ atawapa katika jina langu.+