Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+ Waroma 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini, akina ndugu,+ sitaki mkose kujua kwamba mara nyingi nilikusudia kuja kwenu+ ili niweze kujipatia matunda fulani+ kati yenu pia kama vile ilivyo kati ya mataifa mengine, lakini nimezuiwa mpaka sasa. Wafilipi 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi ikiwa ni kuendelea kuishi katika mwili, hilo ni tunda la kazi yangu+—na bado jambo la kuchagua silifanyi lijulikane.
19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+
13 Lakini, akina ndugu,+ sitaki mkose kujua kwamba mara nyingi nilikusudia kuja kwenu+ ili niweze kujipatia matunda fulani+ kati yenu pia kama vile ilivyo kati ya mataifa mengine, lakini nimezuiwa mpaka sasa.
22 Basi ikiwa ni kuendelea kuishi katika mwili, hilo ni tunda la kazi yangu+—na bado jambo la kuchagua silifanyi lijulikane.