Yohana 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+ Wafilipi 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Si kwamba ninatafuta hiyo zawadi+ kwa bidii, bali ninatafuta kwa bidii matunda+ yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu yenu.
16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+
17 Si kwamba ninatafuta hiyo zawadi+ kwa bidii, bali ninatafuta kwa bidii matunda+ yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu yenu.