1 Mambo ya Nyakati 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mungu aliwasaidia kupigana nao, akawatia mikononi mwao Wahagri na wote waliokuwa pamoja nao, kwa maana walimwomba Mungu awasaidie vitani, akasikiliza maombi yao kwa sababu walimtumaini.+ 1 Nyakati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:20 w05 10/1 9 1 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:20 The Watchtower,10/1/2005, uku. 9
20 Mungu aliwasaidia kupigana nao, akawatia mikononi mwao Wahagri na wote waliokuwa pamoja nao, kwa maana walimwomba Mungu awasaidie vitani, akasikiliza maombi yao kwa sababu walimtumaini.+