Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+ Zaburi 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baba zetu walikutumaini wewe;+Walikutumaini, nawe ulikuwa ukiwaokoa.+
7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+