Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Asa akamlilia Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, haijalishi kwako ikiwa wale unaowasaidia ni wengi au hawana nguvu.+ Tusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na umati huu.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu anayeweza kufa akushinde.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ee Mungu wetu, je, hutatekeleza hukumu dhidi yao?+ Kwa maana hatuna nguvu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja kutushambulia; nasi hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakutazama wewe.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yeye anategemea mkono wa nyama* lakini sisi tuna Yehova Mungu wetu wa kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Basi watu wakaimarishwa na maneno ya Mfalme Hezekia wa Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki