Waamuzi 11:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sijakukosea, lakini umenikosea kwa kunishambulia. Yehova ambaye ni Mwamuzi+ na aamue leo kati ya Waisraeli na Waamoni.’” 28 Lakini mfalme wa Waamoni hakusikiliza ujumbe wa Yeftha. Zaburi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+
27 Sijakukosea, lakini umenikosea kwa kunishambulia. Yehova ambaye ni Mwamuzi+ na aamue leo kati ya Waisraeli na Waamoni.’” 28 Lakini mfalme wa Waamoni hakusikiliza ujumbe wa Yeftha.
6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+