1 Samweli 17:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+ Zaburi 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tutapaza sauti kwa shangwe kwa sababu ya matendo yako ya wokovu;+Tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+ Yehova na atimize maombi yako yote. Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+
45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+
5 Tutapaza sauti kwa shangwe kwa sababu ya matendo yako ya wokovu;+Tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+ Yehova na atimize maombi yako yote.