Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamwokoa.+ Nitamlinda kwa sababu analijua* jina langu.+
2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+