-
2 Samweli 22:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Akasema:
“Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+
3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,
Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+
Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.
4 Ninamlilia Yehova, anayestahili kusifiwa,
Nami nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.
-