Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • 2 Samweli 22:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akasema:

      “Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+

       3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

      Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+

      Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.

       4 Ninamlilia Yehova, anayestahili kusifiwa,

      Nami nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki