Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • 1 Samweli 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Hana akasema hivi katika sala:

      “Moyo wangu unashangilia katika Yehova;+

      Pembe yangu imekwezwa* na Yehova.

      Kinywa changu kimefunguliwa wazi dhidi ya maadui wangu,

      Kwa maana ninashangilia kwa sababu ya matendo yako ya wokovu.

       2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,

      Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

      Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki