Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+ Kumbukumbu la Torati 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ninyi wenyewe mmeonyeshwa mambo hayo ili mjue kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+ Zaburi 73:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni nani niliye naye mbinguni? Isipokuwa wewe tu, sitamani chochote duniani.+ Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+ Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+ Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+
35 Ninyi wenyewe mmeonyeshwa mambo hayo ili mjue kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+
6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+ Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?