-
1 Wakorintho 8:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa miungu, iwe ni mbinguni au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi, 6 kwa kweli kwetu kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana mmoja, Yesu Kristo, ambaye vitu vyote vimepitia kwake+ na sisi kupitia kwake.
-