1 Mambo ya Nyakati 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Miungu yote ya mataifa ni miungu ya ubatili,+Lakini Yehova ndiye aliyeziumba mbingu.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+