Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+ 2 Wafalme 19:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na nchi zao.+ 18 Nao wameitupa miungu yao motoni, kwa sababu haikuwa miungu+ bali kazi ya mikono ya wanadamu,+ miti na mawe. Ndiyo sababu waliweza kuiangamiza. Yeremia 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, mwanadamu anaweza kujitengenezea miunguWakati kwa kweli hiyo si miungu?+
21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+
17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na nchi zao.+ 18 Nao wameitupa miungu yao motoni, kwa sababu haikuwa miungu+ bali kazi ya mikono ya wanadamu,+ miti na mawe. Ndiyo sababu waliweza kuiangamiza.