Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+

      Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+

      Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+

      Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+

  • 2 Wafalme 19:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na nchi zao.+ 18 Nao wameitupa miungu yao motoni, kwa sababu haikuwa miungu+ bali kazi ya mikono ya wanadamu,+ miti na mawe. Ndiyo sababu waliweza kuiangamiza.

  • Yeremia 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, mwanadamu anaweza kujitengenezea miungu

      Wakati kwa kweli hiyo si miungu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki