1 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamlilia Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumekuacha wewe, Yehova, ili kuabudu Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ sasa tuokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu ili tukutumikie.’ 1 Samweli 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Msigeuke na kufuata vitu vya ubatili,*+ ambavyo havina faida yoyote+ na ambavyo haviwezi kuokoa, kwa sababu ni vitu vya ubatili.*
10 Nao wakamlilia Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumekuacha wewe, Yehova, ili kuabudu Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ sasa tuokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu ili tukutumikie.’
21 Msigeuke na kufuata vitu vya ubatili,*+ ambavyo havina faida yoyote+ na ambavyo haviwezi kuokoa, kwa sababu ni vitu vya ubatili.*