Zaburi 115:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya mwanadamu.+ 5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+Zina macho, lakini haziwezi kuona; Yeremia 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee Yehova, nguvu zangu na ngome yangu,Kimbilio langu katika siku ya taabu,+Mataifa yatakuja kwako kutoka kwenye miisho ya dunia,Nayo yatasema: “Mababu zetu walirithi uwongo mtupu,Ubatili na vitu visivyofaa kitu ambavyo havina faida yoyote.”+
4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya mwanadamu.+ 5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+Zina macho, lakini haziwezi kuona; Yeremia 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee Yehova, nguvu zangu na ngome yangu,Kimbilio langu katika siku ya taabu,+Mataifa yatakuja kwako kutoka kwenye miisho ya dunia,Nayo yatasema: “Mababu zetu walirithi uwongo mtupu,Ubatili na vitu visivyofaa kitu ambavyo havina faida yoyote.”+
19 Ee Yehova, nguvu zangu na ngome yangu,Kimbilio langu katika siku ya taabu,+Mataifa yatakuja kwako kutoka kwenye miisho ya dunia,Nayo yatasema: “Mababu zetu walirithi uwongo mtupu,Ubatili na vitu visivyofaa kitu ambavyo havina faida yoyote.”+