Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+ Yeremia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu? Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+
21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+
11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu? Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+