Hosea 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nitampanda kama mbegu kwa ajili yangu duniani,+Nami nitamwonyesha rehema yule ambaye hakuonyeshwa rehema;*Nitawaambia wale ambao si watu wangu:* “Ninyi ni watu wangu,”+ Nao watasema: “Wewe ni Mungu wetu.”’”+ Waroma 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakupendwa, nitamwita ‘mpendwa’;+ Waroma 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi ninauliza, Je, walijikwaa na kuanguka kabisa? La hasha! Lakini kwa kujikwaa kwao, kuna wokovu kwa watu wa mataifa, ili kuwachochea wawe na wivu.+ 1 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa wakati fulani ninyi hamkuwa watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ hamkuwa mmeonyeshwa rehema, lakini sasa mmeonyeshwa rehema.+
23 Nitampanda kama mbegu kwa ajili yangu duniani,+Nami nitamwonyesha rehema yule ambaye hakuonyeshwa rehema;*Nitawaambia wale ambao si watu wangu:* “Ninyi ni watu wangu,”+ Nao watasema: “Wewe ni Mungu wetu.”’”+
25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakupendwa, nitamwita ‘mpendwa’;+
11 Basi ninauliza, Je, walijikwaa na kuanguka kabisa? La hasha! Lakini kwa kujikwaa kwao, kuna wokovu kwa watu wa mataifa, ili kuwachochea wawe na wivu.+
10 Kwa kuwa wakati fulani ninyi hamkuwa watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ hamkuwa mmeonyeshwa rehema, lakini sasa mmeonyeshwa rehema.+