Zaburi 96:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Miungu yote ya mataifa ni miungu ya ubatili,+Lakini Yehova ndiye aliyeziumba mbingu.+ 1 Wakorintho 10:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya roho waovu. 22 Au je, ‘tunamchochea Yehova* kuwa na wivu’?+ Je, sisi tuna nguvu zaidi kuliko yeye?
21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya roho waovu. 22 Au je, ‘tunamchochea Yehova* kuwa na wivu’?+ Je, sisi tuna nguvu zaidi kuliko yeye?