Malaki 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu? Mathayo 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, msimwite mtu yeyote baba yenu duniani, kwa maana Baba yenu+ ni mmoja, Yule aliye mbinguni.
10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu?
9 Zaidi ya hayo, msimwite mtu yeyote baba yenu duniani, kwa maana Baba yenu+ ni mmoja, Yule aliye mbinguni.