24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeanza kumwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni mungu gani mbinguni au duniani anayetenda mambo makuu kama wewe?+
22 Ndiyo sababu wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Hakuna aliye kama wewe,+ na hakuna Mungu ila wewe;+ mambo yote tuliyosikia kwa masikio yetu yanathibitisha jambo hilo.