Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+
18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+