Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+

  • Zaburi 68:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwimbieni Mungu; liimbieni sifa* jina lake.+

      Mwimbieni Yule anayepanda kupitia jangwa tambarare.*

      Jina lake ni Yah!*+ Shangilieni mbele zake!

  • Isaya 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;

      Simpi yeyote utukufu wangu,*

      Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

  • Isaya 54:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+

      Yehova wa majeshi ndilo jina lake,

      Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+

      Ataitwa Mungu wa dunia yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki