Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+ Zaburi 68:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwimbieni Mungu; liimbieni sifa* jina lake.+ Mwimbieni Yule anayepanda kupitia jangwa tambarare.* Jina lake ni Yah!*+ Shangilieni mbele zake! Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;Simpi yeyote utukufu wangu,*Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+ Isaya 54:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+
4 Mwimbieni Mungu; liimbieni sifa* jina lake.+ Mwimbieni Yule anayepanda kupitia jangwa tambarare.* Jina lake ni Yah!*+ Shangilieni mbele zake!
8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;Simpi yeyote utukufu wangu,*Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+