8 “‘Nilipokuwa nikipita na kukuona, nilitambua kwamba ulikuwa na umri wa kutosha kuonyeshwa upendo. Basi nikatandaza vazi langu juu yako+ na kuufunika uchi wako, nami nikaapa na kufanya agano pamoja nawe,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nawe ukawa wangu.