Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+ Waroma 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si Mungu wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, pia wa watu wa mataifa.+
9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+
29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si Mungu wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, pia wa watu wa mataifa.+