Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kornelio akamkazia macho, akiwa na hofu, na kumuuliza: “Kuna nini, Bwana?” Akamwambia: “Mungu amesikia sala zako na kuona zawadi zako za rehema, naye anazikumbuka.+
4 Kornelio akamkazia macho, akiwa na hofu, na kumuuliza: “Kuna nini, Bwana?” Akamwambia: “Mungu amesikia sala zako na kuona zawadi zako za rehema, naye anazikumbuka.+