Isaya 54:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+ Waroma 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki.+ Kuna Bwana yuleyule juu ya wote, aliye tajiri* kwa wote wanaomwitia. Wagalatia 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ilikuwa hivyo ili baraka ya Abrahamu ije kwa mataifa kupitia Kristo Yesu,+ ili tuipokee roho iliyoahidiwa+ kupitia imani yetu.
5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+
12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki.+ Kuna Bwana yuleyule juu ya wote, aliye tajiri* kwa wote wanaomwitia.
14 Ilikuwa hivyo ili baraka ya Abrahamu ije kwa mataifa kupitia Kristo Yesu,+ ili tuipokee roho iliyoahidiwa+ kupitia imani yetu.