Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye akatoka huko na kwenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Betheli+ na kupiga hema lake, jiji la Betheli likiwa upande wa magharibi na Ai+ upande wa mashariki. Huko, akamjengea Yehova+ madhabahu na kuanza kuliitia jina la Yehova.+

  • Mwanzo 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yakobo akaamka kutoka usingizini na kusema: “Kwa kweli Yehova yuko mahali hapa, nami sikujua.”

  • Yeremia 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Umefanya ishara na miujiza katika nchi ya Misri, nayo inajulikana mpaka leo hii, na hivyo umejijengea jina katika Israeli na kati ya wanadamu,+ kama ilivyo leo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki