Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha Noa akamjengea Yehova madhabahu,+ akachukua baadhi ya wanyama walio safi na baadhi ya viumbe wanaoruka walio safi,+ akawatoa kuwa dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu+ hiyo.

  • Mwanzo 35:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Ondoeni kabisa miungu ya kigeni iliyo kati yenu,+ na mjisafishe wenyewe na kubadili mavazi yenu, 3 na acheni tuondoke twende Betheli. Huko nitamjengea madhabahu Mungu wa kweli, aliyenijibu katika siku yangu ya taabu na ambaye amekuwa pamoja nami kila mahali nilipoenda.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki