Mwanzo 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa Labani alikuwa ameenda kuwakata manyoya kondoo wake, Raheli akaiba sanamu za terafimu*+ za baba yake.+ Kumbukumbu la Torati 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hupaswi kamwe kuwa na miungu mingine ila mimi.*+ Yoshua 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na msishirikiane kamwe na mataifa haya+ yaliyobaki kati yenu. Hampaswi hata kutaja majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa majina hayo, na hampaswi kamwe kuiabudu au kuiinamia.+ 1 Wakorintho 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.+
19 Sasa Labani alikuwa ameenda kuwakata manyoya kondoo wake, Raheli akaiba sanamu za terafimu*+ za baba yake.+
7 na msishirikiane kamwe na mataifa haya+ yaliyobaki kati yenu. Hampaswi hata kutaja majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa majina hayo, na hampaswi kamwe kuiabudu au kuiinamia.+