2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Ondoeni kabisa miungu ya kigeni iliyo kati yenu,+ na mjisafishe wenyewe na kubadili mavazi yenu,
2 Yoshua akawaambia watu wote, “Hivi ndivyo anavyosema Yehova Mungu wa Israeli, ‘Zamani za kale+ mababu zenu,+ kutia ndani Tera baba ya Abrahamu na baba ya Nahori, waliishi ng’ambo ya Mto,* nao walikuwa wakiabudu miungu mingine.+