Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:3-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usiwe na miungu mingine yoyote ila mimi.*+

      4 “Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa au mfano wa* kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+ 5 Usiviinamie wala kushawishiwa kuviabudu,+ kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu,+ nami huwaadhibu watoto kwa sababu ya makosa ya baba zao, kufikia kizazi cha tatu na kizazi cha nne cha wale wanaonichukia, 6 lakini ninawatendea kwa upendo mshikamanifu watu wanaonipenda na kushika amri zangu, kufikia kizazi cha elfu cha watu hao.+

  • 2 Wafalme 17:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova alipofanya agano pamoja nao,+ aliwaamuru hivi: “Msiogope miungu mingine, wala msiiinamie wala kuiabudu wala kuitolea dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki