Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:16-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yakobo akaamka kutoka usingizini na kusema: “Kwa kweli Yehova yuko mahali hapa, nami sikujua.” 17 Naye akaogopa na kusema: “Mahali hapa panaogopesha kwelikweli! Bila shaka hapa ni nyumba ya Mungu,+ na hili ndilo lango la mbingu.”+ 18 Kwa hiyo Yakobo akaamka asubuhi na mapema na kuchukua lile jiwe alilokuwa amepumzisha kichwa chake juu yake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.+ 19 Basi akapaita mahali hapo Betheli,* lakini hapo awali jiji hilo liliitwa Luzi.+

  • Mwanzo 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mimi ni Mungu wa kweli wa Betheli,+ mahali ambapo uliitia nguzo mafuta na kuniwekea nadhiri.+ Sasa inuka, ondoka katika nchi hii, urudi kwenye nchi uliyozaliwa.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki