Mwanzo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yakobo akaamka asubuhi na mapema na kuchukua lile jiwe alilokuwa amepumzisha kichwa chake juu yake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.+ Mwanzo 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na jiwe hili ambalo nimelisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ nami sitakosa kukupa sehemu ya kumi ya vitu vyote utakavyonipa.”
18 Kwa hiyo Yakobo akaamka asubuhi na mapema na kuchukua lile jiwe alilokuwa amepumzisha kichwa chake juu yake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.+
22 Na jiwe hili ambalo nimelisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ nami sitakosa kukupa sehemu ya kumi ya vitu vyote utakavyonipa.”