Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+ Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Sasa tazameni kwamba mimi—mimi ndiye,+Na hakuna miungu mingine ila mimi.+ Mimi huua, nami hufanya kuwa hai.+ Ninajeruhi,+ nami nitaponya,+Na hakuna anayeweza kumwokoa yeyote kutoka mikononi mwangu.+ 1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+ Isaya 45:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova,Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+ “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine. Marko 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+
39 Sasa tazameni kwamba mimi—mimi ndiye,+Na hakuna miungu mingine ila mimi.+ Mimi huua, nami hufanya kuwa hai.+ Ninajeruhi,+ nami nitaponya,+Na hakuna anayeweza kumwokoa yeyote kutoka mikononi mwangu.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+
18 Kwa maana Yehova,Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+ “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.
32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+