1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova huua, naye huhifadhi uhai;*Hushusha Kaburini,* naye hufufua.+ Zaburi 68:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu anayeokoa;+Na Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu huokoa kutoka katika kifo.+
20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu anayeokoa;+Na Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu huokoa kutoka katika kifo.+