Hesabu 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Musa akaanza kumlilia Yehova, akisema: “Ee Mungu, tafadhali mponye! Tafadhali!”+ Yeremia 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Niponye, Ee Yehova, nami nitapona. Niokoe, nami nitaokoka,+Kwa maana ninakusifu wewe.