Mwanzo 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.” Mwanzo 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Mungu akambariki Noa na wanawe na kuwaambia: “Zaeni muwe wengi na kuijaza dunia.+ Zaburi 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waadilifu wataimiliki dunia,+Nao wataishi humo milele.+ Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni za Yehova,+Lakini dunia amewapa wanadamu.+
28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.”