Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kwa kuisikiliza sauti yake, na kushikamana naye,+ kwa maana yeye ni uzima wenu na kwa uwezo wake mtaishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova aliapa kwamba angewapa mababu zenu Abrahamu, Isaka, na Yakobo.”+

  • Zaburi 37:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana waovu wataangamizwa,+

      Lakini wale wanaomtumaini Yehova wataimiliki dunia.+

  • Methali 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana ni wanyoofu tu watakaokaa duniani,

      Na wasio na lawama* ndio watakaobaki ndani yake.+

  • Mathayo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki