Zaburi 25:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+ Zaburi 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waadilifu wataimiliki dunia,+Nao wataishi humo milele.+ Mathayo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+
12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+
9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+