5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+
7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+