-
2 Wathesalonike 1:7-9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Lakini ninyi mnaopata dhiki mtapata kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo wa Bwana Yesu+ kutoka mbinguni akiwa pamoja na malaika wake wenye nguvu+ 8 katika mwali wa moto, atakapoleta kisasi juu ya wale wasiomjua Mungu na wale wasiotii habari njema kumhusu Bwana wetu Yesu.+ 9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake,
-