Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini waovu, wataangamizwa kutoka duniani,+Na wenye hila watang’olewa kutoka ndani yake.+ 2 Petro 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+
7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+