28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.”
26 Naye alifanyiza kila taifa la watu kutoka kwa mtu mmoja+ ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ na akaamuru nyakati na kuweka mipaka ya makao ya watu,+