Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.”

  • Zaburi 37:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waadilifu wataimiliki dunia,+

      Nao wataishi humo milele.+

  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova,

      Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,

      Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+

      Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+

      “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.

  • Matendo 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye alifanyiza kila taifa la watu kutoka kwa mtu mmoja+ ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ na akaamuru nyakati na kuweka mipaka ya makao ya watu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki