2 Mambo ya Nyakati 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu. 2 Mambo ya Nyakati 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na baada ya mambo hayo yote, Yehova akampiga kwa ugonjwa wa matumbo usioweza kupona.+
16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu.